Sehemu ambayo wana vodacom walipofanyia team building ambayo inayojulikana kama beach komba .
Manager wa
Vodacom kitengo cha Sales (Telesales) katikati Christina
Tungaraza,akifungua shughuli yenyewe,pamoja na kukaribisha baadhi ya
wafanyakazi walio onyesha umahiri wao katika kazi na kuwazawadia zawadi
aina ya kamera ya Samsung yenye dhamani zaidi ya Tsh 300000/= kila
moja
Agness kassiba
mmoja wa wafanyakazi wa Vodacom kitengo cha sales (Telesales),aliye
kamata nafasi ya kwanza katika utendaji bora kazini,aliyeshikilia
zawadi ya aina ya SAMSUNG na kuiweka adharani yenye thamani zaidi ya
Tsh 300000/= aliyo zawadiwa na uongozi wa Telesales.
Robert Noel mmoja wa
wafanyakazi wa Vodacom kitengo cha sales (Telesales),aliye kamata
nafasi ya pili katika utendaji bora kazini kwa muda mrefu,aliyeshikilia
zawadi ya aina ya SAMSUNG na kuiweka adharani yenye thamani zaidi ya
Tsh 300000/= aliyo zawadiwa na uongozi wa Telesales.
Ommy Omary mmoja wa
wafanyakazi wa Vodacom kitengo cha sales (Telesales),aliye kamata nafasi
ya Tatu katika utendaji bora kazini kwa muda mrefu,aliyeshikilia
zawadi ya aina ya SAMSUNG na kuiweka adharani yenye thamani zaidi ya
Tsh 300000/= aliyo zawadiwa na uongozi wa Telesales.
Agness kassiba mmoja
wa wafanyakazi wa Vodacom kitengo cha sales (Telesales),akijaribu kuwa
hasa wafanyakazi wengine utendaji bora na nyanja bora za kutumia ilikuwa
kama yeye.
Manager wa
Sales (Telesales) katikati akiwa na Team leader Yasimin Monyoti upande
wa kulia na Mwashasha Francis wakiwa kwenye swimming Pool pamoja
akishiriki kwa pamoja michezo ya kuogelea
Wafanyakazi
Baadhi wa Vodacom kitengo Sales(Telesales) wakishiriki kwa pamoja
michezo ya kuogelea na baadhi ya michezo mbalimbali iliyo fanyika katika
eneo la Beach komba
Katika Picha ya pamoja wana Telesales
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)