Waziri Mkuu Mstaafu Edward
Lowassa alitoa sadaka jana kabla ya kuendesha harambee y ujenzi wa
Kanisa la Parokia ya Nyakato Jimbo Kuu katoliki Mwanza
Mjumbe
wa Halmashauri Kuu wa CCM Mkoa wa Mara, Christopher Mwita Gachuma
katikati,kiteta jambo na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa muda mfupi
kabla ya kuendesha harambee ya ujenzi wa kanisa, kushoto ni Lawrance
Masha mwenye miwani.
Waziri Mkuu Mstaafu Edward
Lowassa akihutubia waumini wa kanisa Katoliki Parokia ya Nyakato Jimbo
Kuu la Mwanza jana kabla ya kuendesha haranbee ya kuchangia ujenzi wa
kanisa hilo kubwa kuliko yote Kanda ya Ziwa ujenzi ambao utagharimu
kiasi cha shilingi milioni 700.Litakuwa na uwezo wa kubeba waumini 3000
kwa wakati.Katika harambee hiyo zilikusanywa shilingi milioni 200 ikiwa
ni zaidi ya mahitaji ya shilingi milioni 120
Waziri Mkuu Mstaafu Edward
Lowassa mwenye miwani , kulia ni Mkuu wa wilaya ya Nyamagana na kaimu
mkuu wa wilaya y Ilemela, Said Amanzi ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa
wa Mwanza Evarist Ndikilo,wa kwanza kushoto ni Raphael Chegeni, mbunge
wa zamani wa jimbo la Busega,Mbunge wa zamani wa jimbo la
Nyamagana,Lawrance Masha na Mwita Gachuma MNEC,muda mfupi kabla ya
harambee ya kuchngani ujenzi wa kanisa Katoliki Parokia ya Nyakato,Jimbo
Kuu Katoliki Mwanza.Picha na Mdau Richard Mwaikenda
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)