Kelvin enzi za uhai wake
Akina mama wakimbembeleza mama yake Kelvin Mwalingo wakati wa ibada ya kumuaga.
Ndugu, jamaa na marafiki wakiangalia jeneza lenye mwili wa Kelvin Mwalingo wakati wa Ibada ya kumuombea kabla ya mazishi yake.
Ndugu
na jamaa wa marehemu Kelvin Mwalingo, wakiwa wamebeba jeneza lenye
mwili wake wakitoka Hospitali ya Rufaa ya Mbeya jana, wakienda nyumbani
kwao Uyole kwa Maziko.Mwalingo inadaiwa aliuawa kwa kupigwa risasi na
polisi wakati wa vurugu hizo.Picha Zote na Dotto Mwaibale
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)