Kijana Aliyefariki Kwenye Vurugu Mkoani Mbeya Azikwa - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Kijana Aliyefariki Kwenye Vurugu Mkoani Mbeya Azikwa


Kelvin enzi za uhai wake
Akina mama wakimbembeleza mama yake Kelvin Mwalingo wakati wa ibada ya kumuaga.
Ndugu, jamaa na marafiki wakiangalia jeneza lenye mwili wa Kelvin Mwalingo wakati wa Ibada ya kumuombea kabla ya mazishi yake.
Ndugu na jamaa wa marehemu Kelvin Mwalingo, wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wake wakitoka Hospitali ya Rufaa ya Mbeya jana, wakienda nyumbani kwao Uyole kwa Maziko.Mwalingo inadaiwa aliuawa kwa kupigwa risasi na polisi wakati wa vurugu hizo.Picha Zote na Dotto Mwaibale

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages