Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Taasisi wa Mwalimu Nyerere,Salim
Ahmed Salim (kushoto)na Waziri Mkuu Mstaafu,Jaji Joseph Sinde Warioba
(katikati)wakiteta jambo na Katibu Mkuu wa Chama cha(CHADEMA) Willbroad
Slaa,nje ya ukumbi, wakati Mdahalo wa Nafasi ya Umuhimu wa Katiba katika
Maisha ya Watanzania,uliofunguliwa leo Novemba 17, na Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Mohammed Gharib Bilal, katika Jumba
la Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.Picha na Muhidin
Sufiani-Ofisi ya Makamu Wa Rais
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)