Mkurugenzi
Mkuu wa zamani wa Shirika la Ndege Tanzania(ATCL),David Mataka akitoka
katika chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam
leo ambapo alisomewa jumla ya mashitaka matatu likiwemo la kushindwa
kutoa taarifa sahihi za matumizi ya vitu mbalimbali vya shirika
hilo.Bw.Mataka ameachiwa kwa Dhamana ya Sh. Mil.20 kutoka kwa wadhamini
wawili tofauti ambao kila mmoja amemdhamini kwa sh.Mil. 10.
Mkurugenzi
Mkuu wa zamani wa Shirika la Ndege Tanzania(ATCL),David Mataka
akisindikizwa na askari Polisi wakati akitoka kwenye chumba cha Mahakama
ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo alikosomewa mashtaka
matatu likiwemo la kushindwa kutoa taarifa sahihi za matumizi ya vitu
mbalimbali vya shirika hilo.Picha na Francis Dande
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)