Wajumbe
wa Kamati Kuu ya CCM(Kushoto)Mheshimia Sophia Simba,Capt John Chiligati
na January Makamba wakiteta jambo ndani ya ukumbi wa CCM wa White House
kabla ya kuanza kwa Kikao Chao Leo.
Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM wakiwandani ya ukumbi wa CCM wa White House Mjini Dodoma
Waandishi wa Habari wakiwa nje ya ukumbi wa Makao Makuu ya CCM(White House)Mjini Dodoma Leo.Picha na IKULU
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)