MKURUGENZI wa taasisi ya ‘Busara Promotions’
Yussuf Mahmoud,akimzawadia Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim
Seif Sharif Hamad,mfuko wenye bidhaa za sanaa zikiwemo CD za
muziki,wakati wa mkutano uliofanyika jana na kuwakutanisha viongozi wa
taasisi mbalimbali za kitalii na utamaduni pamoja na kampuni za
biashara,kwenye hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini. Picha na
Haroub Hussein.
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)