Brand
New Song kutoka kwa MwanaFA akiwa amemshirikisha Linah, YALAITI ambao
umefanyiwa sample kutoka kwa wasanii wakongwe ambao waliutumia toka
kitambo, hapa namzungumzia Siti, Binti Saad, Malika pamoja na Bibi
Kidude. Wimbo huu kwenye chorus ameimba Linah na kurudia kwa melody ile
ile halafu mtu mzima akadondokea. Gitaa limepigwa na mmoja wa walimu wa
muziki THT anaitwa Cadinal Gento na beat imefanywa na Marco Chali kutoka
MJ Rec
Isikilize YALAITI Hapa
Isikilize YALAITI Hapa
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)