Mkurugenzi
na Mtendaji Mkuu wa Benki ya NIC Tanzania, James Muchiri (kushoto)
akiwa kwenye picha ya pamoja na Meneja Mikopo wa benki hiyo Bi Regina
Mwengi, Prisalla Karobia na David Muthungu kabla ya kuanza kwa michuano
ya gofu iliyoandaliwa na Lions Club na kufanyika kwenye viwanja vya
Gymkhana jijini Dar es Salaam. Benki hiyo ilidhamini kiwanja namba kumi
kwa shilingi Milioni 3.5.
Priscilla
Karobia ambaye ni mmoja ya wanacahama wa Kalbu yak Gymkhana akiangalia
mpira baaada ya kuupiga wakati wa Mashindano ya Gofu yaliyofanyika
katika Viwanja vya Gymkhana ili kusaidia watu wenye matatizo ya kuona
ambapo benki hiyo ilidhamini kiwanja namba kumi kwa shilingi Milioni
3.5
Mkurugenzi
na Mtendaji Mkuu wa Benki ya NIC Tanzania, James Muchiri akiangalia
mpira baaada ya kuupiga wakati wa Mashindano ya Gofu yaliyofanyika
katika Viwanja vya Gymkhana ili kusaidia watu wenye matatizo ya kuona
ambapo benki hiyo ilidhamini kiwanja namba kumi kwa shilingi Milioni
3.5
David
Muthungu mmoja ya wachezaji wa gofu akiangalia mpira baaada ya kuupiga
wakati wa Mashindano ya Gofu yaliyofanyika katika Viwanja vya Gymkhana
ili kusaidia watu wenye matatizo ya kuona ambapo benki hiyo ilidhamini
kiwanja namba kumi kwa shilingi Milioni 3.5.
Baadhi
ya wafanyakazi wa Benki ya NIC Tanzania akiwemo Mkurugenzi na Mtendaji
Mkuu wa Benki ya NIC Tanzania, James Muchiri (Katikati) wakiwa kwenye
picha ya pamoja na baadhi ya wanachama Lions Club wakati wa michuano ya
Gofu iliyofanyika kwenye viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam ili
kusaidia watu wenye matatizo ya macho. Benki hiyo ilidhamini kiwanja
namba kumi kwa shilingi Milioni 3.5.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)