Mkurugenzi
wa African Stars ASHA BARAKA pamoja ofisa wa Ubalozi nchini Uingereza
AMOSI MSANJILA wanazungumzia kuhusu maandalizi na matayarisho kwa ajili
ya ziara ya Twanga Pepeta "KISIMA CHA BURUNDANI'' nchini Uingereza
katika Kuazimisha miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara. Show hii
itafanyika jumamosi Tarehe 26 November 2011 katika Ukumbi wa Club
2000(Silver Spoon)Savoir Banqueting Suite, Popin Building Southway,
Wembley HA9 0HB.
Asante,
Urban Pulse Creative
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)