Meneja
Mawasiliano wa kampuni ya Vodacom, Salum Mwalim akimsikiliza Kamanda wa
Polisi Mkoa wa Rukwa SACP Isunto Mantage, wakati wawili hao
walipokutana katika banda la Vodacom katika maonyesho ya wadau
watakaoshiriki mkutano wa uwekezaji katika ukanda wa ziwa Tanganyika
mjini Mpanda. Kampuni ya Vodacom imefadhili chakula cha mchana na cha
usiku kwa wajumbe zaidi ya mia nne watakaohudhuria mkutano huo.
-







No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)