Shindano la kumsaka mrembo wa chuo
kiu cha Kmpala International University 2011 litarajiwa kufanyika
jumamosi hii katika ukumbi wa Savanna Lounge (quality center) uliopo
barabara ya Pugu,jumla ya warembo 12 wamejitokeza kuwania taji hilo siku
ya tarehe 22 octoba.
Shindano litapambwa na wasanii wa
kizazi kipya kipya Dully sykes,D-nob,Ngoma za asili na vijana wa
kutikisika(shers),mabali ya burudani hizo kutakuwa na suprize ya majai
pamoja masupastaa wa movie.
Miss Kampala Internationa 2011
imeandaliwa na serikali ya wanafunzi ikishirikana na wadau maarufu wa
mambo ya urembo na mitindo nchini Tanzania,tiketi za fainali hizi
zinapatikana CLOUDS fM,CHUONI KWAO,JB BELMONT HOTEL,SAVANNA
LOUNGE(quality center)kitchen hut (mlimani city) kwa iasi cha 10,000/=
(regular) na V.I.P 30,000/=





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)