Uchaguzi Mkuu wa Rais wa IPU,Tanzania Yapata Nafasi Nyingine - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Uchaguzi Mkuu wa Rais wa IPU,Tanzania Yapata Nafasi Nyingine


Mhe. David Kafulila akitimiza haki yake ya kidemokrasia kwa kupiga kura ya kumchagua Rais wa IPU
Spika wa Bunge la Uganda Mhe. Rebecca Kadaga (kushoto)akimpongeza Spika wa Morocco Bwa. Radi A.kwa kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa IPU
Ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa 125 wa IPU chini ya uongozi wa Spika Makinda (katikati) ukijadili jambo mara kabla ya uchaguzi mkuu wa Rais wa IPU. Kulia kwake ni Mhe. Angela Kairuki na Kushoto ni Mhe Suzan Lyimo.Mhe.Kairuki amechaguliwa kuziwakilisha nchi za Afrika katika Kamati ya Bunge la Dunia inayoshughulikia Haki za Binadamu na Wabunge.Mhe.Hamadi Rashid ni Makamu wa Rais wa Kamati ya Bunge la Dunia inayoshughulikia Maendeleo endelevu,Fedha na Biashara.
 Picha na Prosper Minja-BUNGE

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages