hawa ndio Vimwana Walioshiriki kinyanganyiro cha Miss Kampala University Dar es Salaam Campus - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

hawa ndio Vimwana Walioshiriki kinyanganyiro cha Miss Kampala University Dar es Salaam Campus

Shindano la kumsaka mrembo wa Chuo Kuu cha Kimataifa Kampala (KIU) 2011 litarajiwa kufanyika leo katika ukumbi wa Savanna Lounge (Quality Center) uliopo barabara ya Pugu, ambapo jumla ya warembo 12 watapanda jukwaani kuwania taji hilo leo 22 Octoba 2011.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages