HOMA
ya pambano la watani wa jadi nchini Simba na Yanga imeanza kupanda
taratibu ambapo Yanga imemtiamua kocha wake Sam Timbe na kumrejesha
Kostadin Papic ambaye ameanza rasmi kuinoa timu hiyo jioni ya leo
katika mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Kaunda.
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)