sam TIMBE ATIMULIWA yanga,PAPIC AANZA RASMI KUINOA YANGA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

sam TIMBE ATIMULIWA yanga,PAPIC AANZA RASMI KUINOA YANGA

HOMA ya pambano la watani wa jadi nchini Simba na Yanga imeanza kupanda taratibu ambapo Yanga imemtiamua kocha wake Sam Timbe na kumrejesha Kostadin Papic ambaye ameanza rasmi kuinoa timu hiyo  jioni ya leo katika mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Kaunda.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages