SABODO ATOA MSAADA WA SH. MILIONI 70 ZA KUCHIMBA VISIMA 10 VYA MAJI MKOANI SINGIDA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

SABODO ATOA MSAADA WA SH. MILIONI 70 ZA KUCHIMBA VISIMA 10 VYA MAJI MKOANI SINGIDA

NAIBU Katibu Mkuu wa CCM (Bara), John Chiligati (kulia), akikabidhi hundi ya sh. milioni 70 kwa mwakilishi wa kampuni ya PNR Services Limited, Dasharath Reddy, zilizotolewa msaada na mfanyabiashara Jaffer Sabodo kwa ajili ya kuchimba visima 10 vya maji katika Jimbo la Singida Mjini, mkoani Singida. Katikati ni mwakilishi wa Mbunge wa Singida Mjini, Mohammed Dewji, Esther Dotto. Makabidhiano hayo yamefanyika  nyumbani kwa mfanyabiashara huyo, Upanga, jijini Dar es salaam, hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages