| Mkuu wa mkoa Mbeya Abasi Kandoro akiongea na wakandarasi wa uwanja wa ndege songwe Mbeya alipotembelea kuona maendeleo ya kiwanja hicho |
| Meneja wa kiwanja cha ndege mkoa wa mbeya Ezekia Mwalutende akisoma taarifa ya ya ujenzi wa kiwanja cha ndege songwe Mbeya |
| Mkuu wa mkoa mbeya Abasi Kandoro akiwasisitiza wakandarasi wa ujenzi wa uwanja wa ndege songwe kukamilisha ujenzi uwanja huo kwa muda uliopngwa |
| Mkuu wa mkoa mbeya Abasi Kandoro akimsikiliza Mhandisi wa kampuni ya kundan singh |
| Mkuu wa mkoa Mbeya Basi Kandoro akikagua uwanja wa ndege songwe |
| Hili ni jengo la abiria likikamilika linauwezo wa kuhudumia abiria 300 kwa saa |





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)