MBWANA MATUMLA AJIFUA KUMKABILI FRANSIC MIYAYUSHO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MBWANA MATUMLA AJIFUA KUMKABILI FRANSIC MIYAYUSHO

Kocha Mkongwe wa mchezo wa ngumi, Habibu Kinyogoli (kushoto) akiwaamulu mabondia, Mbwana Matumla wa pili kushoto na Mussa Sunga kupigana wakati wa mazoezi ya kambi ya Ilala kulia ni kocha wa viungo, Mohamedi Chipota Matumla anajiandaa na mpambano wake wa ubingwa na Fransic Miyayusho litakalofanyika mwishoni mwa mwezi huu.(PICHA NA www.superdboxingcoach.blogspot.com)
Mabondia Mbwana Matumla (kushoto) na Mussa Sunga wakipigana wakati wa mazoezi ya kambi ya ILala Dar es salaam jana kulia ni kocha MOhamedi Chipota, Matumla anajiandaa na mpambano wake wa ubingwa na Fransic Miyayusho litakalofanyika mwishoni mwa mwezi huu.(PICHA NA www.superdboxingcoach.blogspot.com)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages