Home
Unlabelled
Mabasi Haya Yasadikiwa Yalibeba Mamluki Kuelekea igunga
Mabasi Haya Yasadikiwa Yalibeba Mamluki Kuelekea igunga
MABASI madogo manne aina ya Rosa ya kampuni ya
Mukeshi Travels yaliyokuwa na watu wanaodaiwa ni mamluki wa CHADEMA
waliotoka Tarime na Musoma mkoani Mara kwenda kuvuruga uchaguzi Igunga,
yakiwa yameegeshwa eneo la Tinde mkoani Shinyanga kwa ajili ya upekuzi
wa Polisi jana. Hata hivyo walidai walikuwa wanakwenda kwenye kampeni
huku wengine wakidai wanakwenda kuwa mawakala wa chama hicho siku ya
uchaguzi.Kwa mujibu wa habari zilizothibitishwa na Msimamizi wa
Uchaguzi mawakala waliapishwa jana. Habari tulizozipata hivi punde ni
kwamba watu hao waliodaiwa kuwa mamluki ni kwamba si mamluki
wameapishwa leo jioni kuwa mawakala wa chama hicho.
Na Mpigapicha Wetu
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF Mzee Emannuel Humba akionyesha tuzo yake aliyopewa na mfuko huo kwa kutambua...
Contact Form
About Me
Hello, my name is Josephat Lukaza. I've 12 years in Blogging and An Award Winner for the BEST Political Blog in African Bloggers Awards in 2015 Learn More →
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)