FRANCIS MIYAYUSHO NA MBWANA MATUMLA WATAMBIANA MPAMBANO JUMAPILI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

FRANCIS MIYAYUSHO NA MBWANA MATUMLA WATAMBIANA MPAMBANO JUMAPILI

https://mail.google.com/mail/?ui=2&ik=3530edf2ab&view=att&th=1333ff95ad6f673f&attid=0.1&disp=inline&realattid=f_gu888umn0&zw 
Bondia Fransic Miyayusho (kushoto) na Mbwana Matumla wakitunishiana misuri mbele ya waandishi wa habari wakati wa utambulisho wao wa mpambano wa kugombea ubingwa wa UBO jumapili hii katikati ni mratibu wa mpambano huo Mohamedi Bawaziri .
https://mail.google.com/mail/?ui=2&ik=3530edf2ab&view=att&th=1333ff95ad6f673f&attid=0.2&disp=inline&realattid=f_gu888zy81&zw
Mratibu wa mpambano wa ngumi Mohamedi Bawaziri  katikati akiwa na mkanda wa ubingwa utakaogombaniwa na mabondia Fadhili Majia (kushoto) na Juma Fundi siku ya jumapili.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com) 

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages