ASKARI WA USALAMA BARABARANI MPO HAPO? - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

ASKARI WA USALAMA BARABARANI MPO HAPO?

Basi la abiria likiwa limejaza kupita kiasi hadi abiria wengine kuning'inia katika daladala lenye namba za usajili T617ASZ linalofanya safari zake kati ya Morogoro Mjini na Merela Wilayani Mvomero katika barabara kuu ya Iringa, likipita katika eneo la Merela kuelekea mjini Morogoro Oktoba 17, 2011 jambo ambalo ni hatari kwa usalama wa abiria hao. Lakini swali ni je Askari wa usalama barabarani wa mkoa wa Morogoro wanao kaa eneo hilo walikuwawapi na kuruhusu gari hili kupita?.Picha Na Father Kidevu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages