Ajali
ya gari ambayo hufanya ruti ya kusafirisha abiria kutoka Mwanjelwa
jijini Mbeya mpaka mji mdogo wa Mbalizi wilaya ya Mbeya vijijini,
ambayo imetokea mteremko wa Mbalizi ambapo zaidi ya abiria Thelathini
wamenusurika kifo, baada ya gari kushindwa kupandisha mlima hali
iliyopelekea kupinduka. Tukio hili limetokea siku ya Jumapili.
Baada
ya kupinduka kwa gari hiyo ambayo hufanya tuti ya kusafirisha abiria
kutoka Mwanjelwa jijini Mbeya hadi Mji mdogo wa Mbalizi wilaya ya Mbeya
vijijini hatimaye lilinusurika kutumbukia bonde la mtoni Mbalizi yukio
lililotokea siku ya Jumapili.
Jeshi
la polisi Usalama barabarani Mbeya mnapaswa kufanya uchunguzi wa kina
ili kuweza kubaini magari yenye karoso kwa lengo la kuepukana na ajali
zisizokuwa za lazima
CREDIT: MBEYA YETU BLOG





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)