Dkt. Shukuru Kawambwa akipokea
maelezo kutoka kwa Dkt. Richard Masika- Mkuu wa Chuo cha Ufundi
Arusha, kuhusu Shamba darasa kwa ajali ya wanafunzi wanaosoma Kozi ya
Ujenzi na Umwagiliaji
Waziri wa Elimu na Mafunzi ya
Ufundi, Dkt. Shukuru Kawambwa , akipokea maelezo mafupi kuhusu sehemu
ambayo itachimbwa Kisima kirefu ili kupata maji ya umwagiliaji
Waziri
wa Elimu na Mafunzi ya Ufundi, Dkt. Shukuru Kawambwa , akisaliamiana
na wataalumu wa Umwagiliaji kutoka Japan ambao watasaidia katika
mafunzo ya Ujenzi na umwagiliaji katika Chuo cha ufundi Arusha





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)