Mhesimiwa Balozi Amina Salum Ali ambaye ni
mwakilishi wa Umoja wa Afrika(African Union) nchini Marekani akipiga
picha ya pamoja na Makamu wa Rais wa Gambia Dr. Hajjat Assiat Njiaye baada
ya kikao kilichozungumzia maswala ya Utalii (African Tourism
Annual Leadership Forum) ambapo Tanzania iliwakilishwa na Mheshimiwa
Ezekiel Maige, Waziri wa Maliasili na Utalii. Kikao hiki kilifanyika
wiki iliyopita, tarehe 22 September 2011 huko New York nchini
Marekani.
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)