Kamanda
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kamishna Msaidizi Mohamed Mpinga
(wa pili kilia) akimshukuru Afisa wa Vodacom Foundation Grace Lyon
wakati wa kukabidhi mabango 30 yenye thamani ya shilingi 3.5 M kwa ajili
ya watu wenye ulemavu Nchini.Wa pili (kushoto)ni Mwenyekiti wa Kamati
ya Usalama Barabarani kwa watu wenye ulemavu Jutoram Kabatele na
Mwakilishi wa Compass Communications Mario Mpingirwa.Mpiga picha wetu
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)