TPA YAZINDUA BOTI ZA DORIA IKIWA NI MAADHIMISHO YA MIKA 50 YA UHURU KATIKA SEKTA YA UCHUKUZI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

TPA YAZINDUA BOTI ZA DORIA IKIWA NI MAADHIMISHO YA MIKA 50 YA UHURU KATIKA SEKTA YA UCHUKUZI

Waziri wa Uchukuzi Mhandisi Omari Nundo (katikati) akizindua huduma kwa mteja kwa wafanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandar Tanzania Sept,16,2011 ,(kushoto) Ni Mkurugenzi Mkuu wawa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania Ephraim Mgawe,, kutoka kulia ni Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhandisi Athumani Mfutakamba akifuatiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Mhandisi Omari Chambo,Nui katika shamrashamra za Maadhimisho ya ,miaka 50 ya Uhuru katika sekta ya Wizara ya Uchukuzi
Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhandisi Athmani Mfutakamba (kushoto) akizindua eneo la ujenzi ,wa kutunzia makontena( GEREZANI CREEK CONTAINER YARD) ikiwa ni kumbukumbu ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara Sept 16,2011 katika eneo la Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania jijini Dar es Salaam. Pichani Mwengine ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Mhandisi Omari Chambo(suti nyeusi))
Kweli Wanawake tukiwezeshwa Tunaweza! Nimeshuhudia Sept,16,2011 katika Bandari ya Dar es Salaam wakati Waziri wa Uchukuzi Mhandisi Omari Nundu (hayupo pichani ) alipozindua Boti za doria kwaajili ya usafiri wa majini,Pichani ni mwanamke pekee Mhandisi Marine TUG. Maisara Rumani (katikati) katika meli ya NYANGUMI , akiwa na Mhandisi Sifuel Felix (kushoto) pamoja na Mhandisi Nicholus Mfumgomara,
Meneja mawasiliano wa TPA Frakline Mziray (kulia) akiwa na msanii mkongwe wa muziki nchini Mzee Muhidini Ngurumo.
Wafanyakazi mbalimbali wa TPA wakiwa katika uzinduzi wa boti hizo jana.
Hizi ndizo boti zilizozinduliwa Sept,16, 2011 katika Bandari ya Dar es Saalam na Waziri wa Uchukuzi Mhandisi Omari Nundu (hayupo pichani) Boti kubwa 2 ni za kuongoza meli na ndogo kwajili ya kuwapeleka mapailot na kufanya doria,shughuli zote hizi zimefanywa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari ikiwa ni shughuli za maadhimisho ya miaka ya uhuru kwa sektab ya Uchukuzi , (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages