Mh. Charles Mhagama
Diwani wa Matogoro.
Sakata la nafasi ya Umeya
iliyoachwa wazi baada ya mmeya wa zamani kufariki dunia limeleta tafrani ndani
ya wana CCM wenyewe baada ya kuonekana jina la Mgombea wa nafasi hiyo Mh.
Mhagama kuonekana limechakachuliwa.
Mh. Emmanuel Nchimbi alilishuhudia tukio hilo.
Chadema nao wakataa kumtambua,
ingawa walishatoa mgombea wao mapema.
KAPINGAZ Blog inasema Chonde chonde kwa kunyumba huko!
KAPINGAZ Blog inasema Chonde chonde kwa kunyumba huko!





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)