Ndani
ya Uwanja wa CCM kirumba mwanza lilitokea tukio la aina yake baada ya
Mbwa wa Polisi kuingia uwanjani na kuanza kukimbiza wachezaji wakati wa
mechi ya Simba na Toto Africa.
Kitendo kama hiki cha kizembe ni nani alaumiwe! na TFF imesemaje ili kisitokee tena?
Kwa
uelewa wangu Mbwa wa polisi akipelekwa kwenye shughuli za Soka
anatumika tu kwa ajili ya kutishia wale ambao wanataka kukiuka
taratibu, lakini sio kwa kumuachia kama hivi. Kama hii mechi ingekuwa
ni ya Kimataifa TFF wategemee nini kutoka FIFA! au Fideration ambayo
itakua imeandaa mashindano hayo!
"TUWE NA UTARATIBU WA KUWAPA SEMINA HAWA WOTE WANAOHUSIKA NA SHUGHULI HIZI"
KAPINGAZ Blog imesikitishwa na tukio hili





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)