Mgeni
Rasmi katika ufunguzi wa National Logistics Conference Naibu Waziri wa
Uchukuzi Mhandisi Athman Mfutakamba (katikati) Mwenyekiti wa Bodi ya(
NIT )Mhandisi Priscilla Chilipwali(Mwanamke) pamoja na Kaimu Mkuu wa
Chuo cha Usafirishaji ((NIT) Elifadhili Mgonja wakielekea kwenye
chumba cha mkutano wa wadau wa Usafirishaji jijini Dar es Salaam (Sept
16,2011) ikiwa ni shughuli za maadhimisho ya miaka 50 ya UHURU kwa
Wizara ya Uchukuzi ambazo zimeanza tarehe 14 Sept hadi 17 Sept.2011,
Mkufunzi kutoka Chuo cha Usafirishaji (NIT) Florian Ifunya (kulia)
akitoa maelezo kwa wadau wa sekta ya Usafirishaji waliohudhuria kwenye
mkutanowa wadau wa Wasafirishaji jijini Dar es Salaam Sept,16,2011
lililofunguliwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhandisi Athumani
Mfutakamba (hayupo pichani) ikiwa ni baadhi ya shughuli za
maadhimisho ya miaka 50 ya UHURU kwa Wizara ya Uchukuzi kisekta, (Picha
na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO) 




No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)