Wakizungumza
na blogu hii katika eneo la tukio wananchi hao wamesema kuwa mnamo
mwezi September 3 mwaka huu majira ya saa 10.30 jioni Mwenyekiti wa mtaa
huo bwana Kamani akiongozana na watu wake kwa kutumia nguvu alibomoa
nyumba na misingi ya nyumba za wakazi hao hali ambayo wanadai ni makosa
na haikuwa sahihi.
Kupitia amri ya mwenyekiti wa kitongoji hicho nyumba nyingi
zimebomolewa, mali kuharibiwa na nyingine kupora huku baadhi ya wakazi
wa eneo hilo wakiachwa hawana mahala pa kujisitiri.Picha Na Unique Entertainment




No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)