MKUTANO WA MARAFIKI WA ELIMU MKOANI DODOMA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MKUTANO WA MARAFIKI WA ELIMU MKOANI DODOMA

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr James Nsekela akiingia katika ukumbi wa Royal Village Mjini Dodoma tayari kwa kufungua mkutano wa mwaka wa marafiki wa elimu.Pamoja nae Kulia ni Mkurugenzi wa HakiElimu Elizabeth Missokia,Rafiki wa elimu Bi Philipina Labia, Rev Samiaeli Mteri,Meneja wa Idara ya Ushiriki wa Wananchi Pius Makomelelo na meneja wa idara ya upatikanaji taarifa Bwana Robert Mihayo
Picha ya pamoja marafiki wa Elimu, Mkurugenzi wa HakiElimu Elizabeth Missokia na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr James Nsekela
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr James Nsekela akiingia katika ukumbi wa Royal Village Mjini Dodoma tayari kwa kufungua mkutano wa mwaka wa marafiki wa elimu.
Picha Zote Na Haki Elimu Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages