MKAPA KUZINDUA KAMPENI YA CCM MCHANA HUU IGUNGA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MKAPA KUZINDUA KAMPENI YA CCM MCHANA HUU IGUNGA

Roli hili nalo likiingia katika eneo la mkutano mjini Igunga.
Bendi ya TOT ikiburudisha wananchi na wafuasi wa CCM waliojitokeza katika mkutano huo mjini Igunga.
Hili ndilo eneo la Viwanja vya Sokoine mahali ambapo CCM watazindulia kampeni zao leo, mahali hapa, pia CHADEMA walipatumia katika uzinduzi wa kampeni zao siku ya Ijumaa iliyopita kama unavyoona pakiwa pamepambwa bendera za rangi za kijani na njano.
Baadhi ya wafuasi wa chama cha Mapinduzi CCM wakishuka kwenye Roli lililowaleta katika mkutano wa kampeni wa Peter Kafumu mgombea ubunge kupitia chama hicho katika jimbo la Igunga, ambapo leo ndiyo uzinduzi rasmi wa kampeni kwa chama cha Mapinduzi (CCM), mkutano utafanyika katika viwanja vya Sokoine mjini Igunga.
Chanzo: full shangwe Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages