mfuasi wa CCM amwagiwa tindikali IGUNGA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

mfuasi wa CCM amwagiwa tindikali IGUNGA

MFUASI wa CCM, Mussa Tesha (24) akiwa katika hospitali ya wilaya ya Igunga mkoani Tabora, leo. Tesha ameungua usoni na sehemu kadhaa mwilini baada ya kumwagiwa tindikali usiku wa kuamkia leo na watu wanaodaiwa kuwa ni wafausi wa CHADEMA, ambapo inaelezwa kuwa walimwagia tindikali hiyo alipokuwa katika harakati za kubandika mabango ya mgombea wa Ubunge jimbo lgunga kwa tiketi ya CCM katika mitaa ya jimbo hilo. Tesha anatarajiwa kuhamishiwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam leo kwa gharama za CCM.Anayemtazama ni Daktari wa hospitali hiyo, Selemani Masinga.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages