Moto wenye utata umeteketeza chumba kimoja
cha Bar inayoitwa Omega inayomilikiwa na Mrs Ngwada iliyopo mtaa wa
Ilolo jijini Mbeya, majira ya saa Kumi na mbili jioni na mtu mmoja
aliyefahamika kwa jina la Ansen Mtono wenye umri wa miaka 23 afariki
dunia.Marehemu amekaa chumba hicho kwa muda wa siku mbili na alikuwa
anadaiwa shilingi elfu hamsini ya bili ya vinywaji. Balozi wa mtaa wa Ilolo Bwana Lukomano Mwakatobe
amesema ni tukio la pili kwani
kwa mwaka uliopita Mwalimu wa Shule ya Sekondari Sangu, marehemu
Bernad Ndolela alifariki katika mazingira ya kutatanisha katika nyumba
hiyo.
Mwili wa marehemu Ansen Mtono ukichukuliwa na Jeshi
la Polisi baada ya kufariki dunia katika chumba cha Bar ya Omega
inayomilikiwa na Mrs Ngwada iliyopo mtaa wa Ilolo jijini Mbeya, majira
ya saa Kumi na mbili jioni na mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la
Ansen Mtono wenye umri wa miaka 23 afariki dunia.
Mashuhuda waliofika eneo la tukio
la Moto wenye utata ulioteketeza chumba kimoja cha Bar inayoitwa Omega
inayomilikiwa na Mrs Ngwada iliyopo mtaa wa Ilolo jijini Mbeya,
majira ya saa Kumi na mbili jioni na mtu mmoja aliyefahamika kwa jina
la Ansen Mtono wenye umri wa miaka 23 afariki dunia.
Jeshi
la polisi mkoani Mbeya lenye nambari PT 0796 likiondoka na mwili wa
marehemu Ansen Mtono wenye umri wa miaka 23 afariki dunia baada ya moto
wa utata umeteketeza chumba kimoja cha Bar inayoitwa Omega
inayomilikiwa na Mrs Ngwada iliyopo mtaa wa Ilolo jijini Mbeya, majira
ya saa Kumi na mbili jioni na mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Ansen
Mtono wenye umri wa miaka 23 afariki dunia.





JAMANI MBEYA KUNANI MAANA MABALAA YOTE YA MOTO NI MBEYA VP HUKO EBU MRUDIE MUNGU MAANA NAONA AJALI MBEYA,MOTO MBEYA....IT SO SAD KWA KWELI
ReplyDeleteMMMMHHHH INATISHA SASA MAANA NAONA HUKO MBEYA HALI SI SHWARI AU NDIO MWISHO WA MWAKA...POLENI WAKAZI WA MBEYA
ReplyDeleteMMMMHHHH INATISHA SASA MAANA NAONA HUKO MBEYA HALI SI SHWARI AU NDIO MWISHO WA MWAKA...POLENI WAKAZI WA MBEYA
ReplyDelete