JAMANI WAKANDARASI MPENI USHIRIKIANO KIONGOZI HUYU SHUPAVU! - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

JAMANI WAKANDARASI MPENI USHIRIKIANO KIONGOZI HUYU SHUPAVU!

Mh. John P. Maghufuli Waziri wa Ujenzi.
 
Mh. J. Maghufuli akifunga kongamano la kuadhimisha miaka 50 ya uhuru, kwa kuwaomba wakandarasi wafanye kazi kulingana na tataratibu, maadili na sheria za Ukandarasi.
 
Watanzania tumpe ushirikiano Mh. J. Maghufuli ili afanye kazi yake kwa ufasaha ili wote tuweze kufaidi na utendaji wake. Napenda kuwaomba Viongozi wa Jiji la Dar es salaam jitahidini kumpa ushirikiano ili wakazi wa Jiji waweze kuepukana na huu msongamano wa magari barabarani.
 
KAPINGAZ Blog inampongeza sana kwa jitihada zake za kutuletea maendeleo Watanzania.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages