Mwanamuziki wa Kimataifa kutoka
nchini Marekani Eve E akiwasili mapema leo asubuhi kwenye uwanja wa
ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta,jijini Nairobi,Kenya akiwa
amepokelewa na mwenyeji wake kutoka kampuni ya Prime Time Promotions Ltd
kutoka Tanzania,Bwana Balozi Kindamba (shoto) na kulia ni mmoja wa
wanausalama wa Eve E,Ujio wa Mwanamuziki huyo anaungana na wanamuziki
wengine akiwemo Shaggy,Cabo Snoop pamoja na nyota wa Tusker All Stars
Peter Msechu,Davis pamoja na Alpha wanaotarajiwa kutumbuiza kwenye
jukwaa moja hapo kesho (jumamosi) kwenye viwanja vya Carnivo jijini
Nairobi ndani ya tamasha la
Tusker All Stars 2011.Kwa Hisani Ya Father Kidevu Blogu







No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)