Moto Wa Extra Bongo - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Moto Wa Extra Bongo

usiku katika ukumbi wa Meeda Club, Sinza jijini Dar es Salaam.   Bendi hii maarufu ya Muzik wa Dansi inayoongozwa na mwanamuziki nguli wa miondoko hiyo, Ally Choki, aka Mzee wa Farasi, Kibabu cha Loliondo,  kwa mpangilio maalumu wa safu ya waimbaji nyota, Banza Stone,  Rogati Hega Katapila na waimbaji wengine watatoa burudani 'kukata na shoka'  silku ya Idd Mosi katika  ukumbi Meeda Sinza, Dar es Salaam. Nyote Mnakaribíshwa.Picha zote na Victor Makinda

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages