WAZIRI MKUU PINDA ALIPOTEMBELEA MSONYESHO YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KWENYE VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

WAZIRI MKUU PINDA ALIPOTEMBELEA MSONYESHO YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KWENYE VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA


Meneja Uhusiano kutoka Wakala wa Umeme Vijijini Bi. Jaina Msuya akimpokea Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa heshima wakati akiingia kwenye banda la Wakala wa Umeme Vijijini (REA) ili kujionea shughuli zinazofanywa na wakala huo kwenye maonyesho ya Wizara ya Nishati na Madini yanayoendelea kwenye viwanja vya bunge Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipata maelezo kutoka kwa Fundi Sanifu Bi Jemina Sadatale kutoka Mradi wa Umeme Jua wa KKKT Mpwapwa unaofadhiliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) mara alipotembelea banda hilo kwenye maonyesho ya Wizara ya Nishati na Madini yanayoendelea katika viwanja vya bunge mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimsikiliza kwa makini mtaalamu Bw. Godwin Msigwa kutoka kampuni ya vifaa vya umeme jua ya Ensol Tanzania Limited inayofadhiliwa na Wakala wa Nishati Vijijini REA) alipotembelea banda hilo kwenye maonyesho ya Wizara ya Nishati na Madini yanayoendelea katika viwanja vya bunge mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages