WAANDISHI WA HABARI WALIPOTEMBELEA BWAWA LA KUZALISHA UMEME LA MTERA KUJIONEA HALI HALISI YA MAJI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

WAANDISHI WA HABARI WALIPOTEMBELEA BWAWA LA KUZALISHA UMEME LA MTERA KUJIONEA HALI HALISI YA MAJI


 Mhandisi Mkuu wa Uendeshaji kutoka kituo cha kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mtera, Julius Chomolla akitoa maelezo kuhusu kipimo cha kuonyesha maji yamejaa katika eneo hilo. Katika kiuto hicho kiwango cha juu cha kuzalisha umeme ni mita 698 wakati cha chini cha kuzalisha nishati hiyo ni mita 690 na jana (juzi) kipimo hicho kilionyesha mita 690.74, ambapo. Bwawa hilo linazalisha umeme MW 33 badala ya MW 80.
 Mhandisi Mkuu wa Uendeshaji kutoka kituoncha kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mtera akitoa maelezo ya jinsi mtambo wa uendeshaji wa umeme unavyofanya kazi kwa waandishi wa habari.
 Baadhi ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakiangalia jinsi bwawa la Mtera ilivyopungua maji.
  Mhandisi Mkuu wa Uendeshaji kutoka kituo cha kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mtera ,Julius Chomolla akionyesha kipimo cha kuonyesha maji yaliyopungua.
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka katika vyombo mbalimbali vya habari wakipata maelezo ya uzalishaji wa umeme katika kituo cha Mtera.Picha na Magreth Kinabo-MAELEZO

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages