KATIBU
wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa,Nape Nnauye
akihutubia maelfu ya wananchi katika Uwanja wa Rwandanzovwe mjini Mbeya
leo
Mjumbe wa NEC, Oganaizesheni Asha Abdallah Juma akihutubia Nape akimkaribisha Mwenyekiti wa Mtandaano wa Chadema wa wanataaluma Prince Mwaihoja
Mwenyekiti wa Wabunge wa mkoa wa Mbeya-CCM,Prof. David Mwakyusa akihutubia. Kushoto ni Nape
Mbunge wa Kyela -CCM,Naibu waziri Ujenzi, Dk. Harrison Mwakyembe akihutubia
Mbunge wa Urambo-CCM, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki akihutubia
Mbunge wa Simanjiro-CCM Ole Sendeka akihutubiaMjumbe wa NEC, Oganaizesheni Asha Abdallah Juma akihutubia Nape akimkaribisha Mwenyekiti wa Mtandaano wa Chadema wa wanataaluma Prince Mwaihoja
Nape akicharaza gita na Kikundi cha TOT cha Mbeya. Kulia ni Waziri wa Ushirikiano wa Kimataifa, Mbunge wa Urambo, Samwel Sitta
Msafara ukiingia uwanjani.Picha na Mpigapicha Maalum






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)