Wanyange
wanao wania taji la REDDS MISS KINONDONI 2011 wakiwa katika mazoezi yao
yanayofanyika katika ukumbi wa Mzalendo jijini Dar es Salaam.
Meneja
Masoko wa Kampuni ya Bia TBL, Fimbo Butala (katikati walioketi) akiwa
katika picha ya pamoja kati ya warembo na waandaaji wa shindano hilo
baada ya kumalizika kwa mazoezi yao ya kujifua na shindano hilo.Wengine
walioketi ni Rahma George na Yusuph George.






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)