Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu maswali Bungeni Mjini Dodoma
jana
Waziri Mkuu, Mizengo
Pinda kizungumza na Mbunge wa Ilala Azan Zungu kwenye jengo la utawala
la Bunge Mjini Dodoma jana
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimshukuru Mkurugenzi Mkuu wa
Taasisi ya Hifadhi ya Jamii ya Ghana,Dr.Grand Sapara,Ofisini kwake,
Bungeni Mjini Dodoma jana
Waziri Mkuu, Mizengo PInda akizungumza na Ujumbi kutoka
Taasisi ya Hifadhi ya Jamii ya Ghana, Ofisini kwake Bungeni Mjini
Dodoma Julai jana.Kulia kwake ni Waziri wa Kazi na Ajira ,Gaudencia
Kabka.Picha na Ofisi Ya Waziri Mkuu
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)