Rostam
Aziz(kushoto)akisoma hotuba yake ya kujiuzulu mbele ya wazee na
wanachama wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Igunga, ambao wengi wao
waliangua kilio baada ya kusikiliza tamko lake.
Vilio vya kwikwi na
sauti pia vilitawala kufuatia uamuzi wake huo kwani licha ya kuandamwa
na maneno mengi lakini huenda wananchi wa jimbo la Ingunga mkoani
Tabora walikuwa wanafaidika sana na uongozi wake jimboni humo.
Kwakua alikuwa akiongea na wazee lakini Vijana nao
hawakusita kuonesha masikitiko yao pale walipofika ghafla na mabango
yaliyo na jumbe mbalimbali.Picha Zote na Mdau Abdulwakil Saiboko
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)