Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Mohammed
harib Bilal, akisalimiana na Rais wa Mfuko wa Kuwait Ukanda wa Afrika,
Sheikh Fahdi Mohammed Al-Shamri, wakati alipofika
kumtembelea Ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam leo Julai 15 na
kufanyanaye mazungumzo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Mfuko huo kwa upande wa
Tanzania, Samy Mohammed.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed
Gharib Bilal,akizungumza na Rais wa Mfuko wa Kuwait Ukanda wa Afrika,
Sheikh Fahdi Mohammed Al-Shamri, wakati alipofika
kumtembelea Ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam leo Julai 15 na
kufanyanaye mazungumzo
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.Mohammed Gharib Bilal, akizungumza
na Rais wa Mfuko wa Kuwait Ukanda wa Afrika, Sheikh Fahdi Mohammed
Al-Shamri, wakati alipofika kumtembelea Ofisini kwake Ikulu Dar es
Salaam leo Julai 15 na kufanya naye mazungumzo.Kushoto ni Mkurugenzi wa
Mfuko huo kwa upande wa Tanzania,Samy Mohammed.Picha na Muhidin
Sufiani-Ofisi Ya Makamu wa Rais
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)