TASWIRA KUTOKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

TASWIRA KUTOKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA


Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja (katikati) akijadiliana na Mbunge wa Jimbo la Sumve Richard Ndassa (kulia) na Kushoto ni Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk. Mary Nagu ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Anan leo mjini Dodoma.
Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja akijadiliana jambo na baadhi wa wabunge mara baada ya kuwasilisha hotuba yake ya Makadirio ya Matiumizi ya Fedha za wizara hiyo kwa mwaka 2011/2012 Bungeni leo mjini Dodoma.
 
 Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini,Januari Makamba(Kulia)akizungumza jambo na kusalimiana na Mbunge wa Jimbo la Lushoto Henry Shekifu mara baada ya kuwasilisha taarifa ya kamati hiyo kuhusu utekelezaji wa majukumu ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2010/2011 pamoja na makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka 2011/2012 bungeni leo mjini Dodoma.
 Picha na Magreth-MAELEZO

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages