Abiria
waliokuwa wakisafiri kutoka Songea kwenda Masasi mkoani Mtwara, wakiwa
hawajui la kufanya baada ya kukwama kufuatia gari walilokuwa wakisafiria
la kampuni ya Kisiwa Video Coach,kuharibikia katika kijiji cha Mchomolo
wilaya ya Namtumbo mkoa wa Ruvuma,ambapo walilazimika kusubiri kwa
zaidi ya masaa 8 bilia ya kupatiwa usafiri mwingine.
Abiria wa basi la Ng'itu
linalofanya safari zake kati ya Mtwara mjini kwenda Dar es Salaam,
wakiwa wameshuka ndani ya gari ilio baada ya usafiri huo kuharibika ilo
katika kijiji cha Mavuji wilayani kilwa hivi karibuni. Picha Zote na Muhidin Amri,
Songea
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)