MAKAMU WA RAISI DK BILAL NA RAISI JAKAYA KIKWETE WAHUDHURIA SHEREHE YA HARUSI YA YUSUPH KIKWETE BAGAMOYO JANA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MAKAMU WA RAISI DK BILAL NA RAISI JAKAYA KIKWETE WAHUDHURIA SHEREHE YA HARUSI YA YUSUPH KIKWETE BAGAMOYO JANA

 Rais jakaya Kikwete na Makamu wake Dkt Mohammed Gharib Bilal, wakiongozana katika Uwanja vya Ikulu Ndogo Bagamoyo wakati walipofika kuhudhuria sherehe ya ndoa ya mdogo wake na rais Kikwete, Yusuph Kikwete, iliyofungwa leo mchana katika uwanja huo na kuhudhuriwa na mbalimbali pamoja na wake za viongozi. 
 Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake Dkt. Bilala, wakiwa katika meza kuu kwenye Sherehe hiyo iliyofanyika Bagamoyo leo.
 Rais Jakaya, akifurahia jambo na Mama Zakhia Bilal (kushoto) na Mama Asha Bilal (wapili kulia)
 Mama Salma Kikwete (kushoto) akiwa na Mama Zakhia Bilal (katikati) na Mama Asha Bilal, wakati wakiwa katika sherehe hiyo ya ndoa ya mdogo wake na Rais Jakaya Kikwete, Yusuph Kikwete leo mjini Bagamoyo.
 Bwana harusi, Yusuph Kikwete akiongozana na wapambe wake wakati wakiingia katika uwanja huo kwa ajili ya kufunga ndoa.
 Bwana Harusi, Yusuph, akifungishwa ndoa na Sheikh.......
 Bwana Harusi Yusuph na waumini wa dini ya Kiislamu wakiomba dua baada ya tendo la kufungishwa ndoa.
 Sheikh, akitoa mawaidha baada ya bwana harusi kufungishwa ndoa,
 Miraji Kikwete, naye hakuwa mbali katika kunasa matukio, hapa alikuwa akimpiga picha baba yake mdogo.
 Bwana Harusi, Yusuph Kikwete akiwa na mkewe Mariam Ombaka, baada ya kufungishwa ndoa.
 Eeeeh! Swahiba upoooooo! ha ha ha ha...., Rais Jakaya akisalimiana na Mudhihir Mudhihir, walipokutana katika sherehe hiyo.
 Bwana harusi akipiga picha ya kumbukumbu ya pamoja na wake za viongozi.Picha Na Muhidin Sufiani

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages