Rais jakaya Kikwete na Makamu wake Dkt Mohammed Gharib
Bilal, wakiongozana katika Uwanja vya Ikulu Ndogo Bagamoyo wakati
walipofika kuhudhuria sherehe ya ndoa ya mdogo wake na rais Kikwete,
Yusuph Kikwete, iliyofungwa leo mchana katika uwanja huo na kuhudhuriwa
na mbalimbali pamoja na wake za viongozi.
Rais Jakaya Kikwete na Makamu wake Dkt.
Bilala, wakiwa katika meza kuu kwenye Sherehe hiyo iliyofanyika Bagamoyo
leo.
Rais Jakaya, akifurahia jambo na Mama Zakhia Bilal
(kushoto) na Mama Asha Bilal (wapili kulia)
Mama Salma Kikwete (kushoto) akiwa na Mama Zakhia Bilal
(katikati) na Mama Asha Bilal, wakati wakiwa katika sherehe hiyo ya ndoa
ya mdogo wake na Rais Jakaya Kikwete, Yusuph Kikwete leo mjini
Bagamoyo.
Bwana harusi, Yusuph Kikwete akiongozana na wapambe wake
wakati wakiingia katika uwanja huo kwa ajili ya kufunga ndoa.
Bwana Harusi, Yusuph, akifungishwa ndoa na Sheikh.......
Bwana Harusi Yusuph na waumini wa dini ya Kiislamu wakiomba
dua baada ya tendo la kufungishwa ndoa.
Sheikh, akitoa mawaidha baada ya bwana
harusi kufungishwa ndoa,
Miraji Kikwete, naye hakuwa mbali katika kunasa matukio,
hapa alikuwa akimpiga picha baba yake mdogo.
Bwana Harusi, Yusuph Kikwete akiwa na mkewe Mariam Ombaka,
baada ya kufungishwa ndoa.
Eeeeh! Swahiba upoooooo! ha ha ha ha...., Rais Jakaya
akisalimiana na Mudhihir Mudhihir, walipokutana katika sherehe hiyo.
Bwana harusi akipiga picha ya kumbukumbu ya pamoja na wake
za viongozi.Picha Na Muhidin Sufiani
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)