Taswira Za Msiba Wa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) Sozzy Mahmoud - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Taswira Za Msiba Wa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo) Sozzy Mahmoud


Mwili wa Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo)Sozzy Mahmoud(Picha ya juu) aliyefariki dunia usiku wa kuamkia juzi umesafirishwa jana kwenda Mto wa Mbu Arusha kwa ajili ya Mazishi.Msafara wa kuelekea Mto wa Mbu mwili wa Sozzy ambaye alikuwa mke wa Mkurugenzi wa Uhuru FM, Mikidadi Mahmoud yalifanyika nyumbani kwao, Karakata, Kipawa Dar es Salaam.
Waziri Nchimbi(kushoto)akimpa pole Mikidadi Mahmoud msibani kufwatia kifo cha Mke wake Sozzy Mahmoud .Wapili kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM,Wilson Mukama na watatu ni Mzee Kingunge Ngombale-Mwiru
Waandishi wa habari waandamizi waliokuwa karibu na Sozzy wakiwa katika majonzi mazito wakati wa kuangwa mwili wa marehemu.
Nape Nanuye akiteta jambo na  Waziri Nchimbi walikuwa wakisema hapa, wakati wa kuangwa marehemu Souzzy jana.Picha Zote na Richard Mwaikenda

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages