RAIS KIKWETE AKUTANA NA MABALOZI WA NYUMBA KUMI NA VIONGOZI WA MASHINA NA KATA ZA MKOA WA DAR ES SALAAM KUIKUMBUKA TANU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

RAIS KIKWETE AKUTANA NA MABALOZI WA NYUMBA KUMI NA VIONGOZI WA MASHINA NA KATA ZA MKOA WA DAR ES SALAAM KUIKUMBUKA TANU

Kikwete akiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Pius Msekwa na Katibu Mkuu wa Wilson Mukama baada ya kuingia ukumbini 
Viongozi wa nyumba kumi na viongozi wa mashina na matawi ya CCM mkoa wa Dar es Salaam wakiwa kwenye mkutano huo 
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wajumbe wa nyumba kumi na viongozi wa mashina na matawi ya CCM katika wilaya zote za mkoa wa Dar es Salaam, mchana, ubungo Plaza ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu ya kuzaliwa TANU na madhimisho ya miaka 50 ya Uhuru.
 
 Kwa Habari Zaidi <<<< BOFYA HAPA >>>>

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages