Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akikagua meli itakayofanya utafiti wa mafuta na
Gesi kwenye pwani ya Mtwara na Mafia inayomilikiwa na kampuni ya
PETROBAS ya Brazil Julai 7, 2011 . Meli hiyo iliyotengenezwa kwenye
bandari ya Geoje nchini Korea ambako Julai 8, 2011 inatarajiwa
kuzinduliwa itaweka nanga kwenye bandari ya Mtwara miezi miche ijayo
ili kuanza kazi ya utafiti wa mafuta na gesi.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wafanyakazi wa kiwanda cha
kusindika samaki cha Geoje kilichopo katika mji wa viwanda wa Geoje
nchini Korea ya Kusini Juni 7, 2011 baada ya kukagua shughuli za kiwanda
hicho.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)